Gatego. Get it treated otherwise one day you’ll go to pee and your dick will fall off. No jokes
Ulikuwa daktari lini ukaanza kupeana mawaidha? Unajua antibiotics should not be misused or taken without prescription, hizo si panadol unaweza meza tu bila prescription
Mchango itakua wapi? @Muhura Ndore ukihura ndore ya mwisho. .:D:D:D
Common medicine for UTI ni kama gani nikanunue kwa chemist?
Wooiii
take doxycycline 100mg, 1x2 for 2wks
ENSURE YOU TAKE THE FULL DOSE, USIWACHE KATIKATI
Discharge haitokangi haraka ivo my fren(one week ata haijaisha)…unless u r spicing it up or u topped up an infection on ur already infected crowbar…:D:D
Ni UTI lakini i doubt the discharge part
Monday mpaka Leo msedes inawasha nikikojoa. Leo imekuwa very painful na nikaona discharge karibu nipate heart attack. DFHKM Neva again walai!
Hiyo ni Kaswende boss. Nenda kapimwe uningie treatment ASAP. Na next time makobosto lazima dryfry ni luwere tu
Kufa polepole wacha kusumbua. ugiita tware ho?
boss enda tu hospitali!
ulipataneko na kamututu
Doctors have seen worse. Fika tu hosi
hapo itabidi umenunua piriton 10 umeze ulale mpaka siku utakufa