Upstairs rentals, chini bizna including donna shops. Nimeishi huku midget
Chokosh hio mkono yako imeparara kama magoti ya ngamia, tumianga mafuta saa zingine.
Panyaste, hio kibanda itauza hio doner yote na siku moja ama ni stock ya wiki?
Hizo mikono buda unatuangusha zipake mafuta, arimis sio tu ya msedes.
Ni meffi mod mgani ame-edit comment yangu,muache umama
Neither of the two I believe…#toatint
Mkono kauka
@jokes on you he is trolling.
:D:D:D:D the comments banaaa
By the way how much is a standard meal huko; let’s say equivalent of chips+chicken+soda?
I am sorry…i don’t do sonford food.
mbona unafungiwa chakula kwa karatasi?
Juu yeye ni chokoste
msee hio ni take away. we office pple take our food tunakulia kwa offisi
hiyo mikono ni ya watu wa mjengo
Ungetoa hiyyo kabuti ya janitor kabla ujifanye white-collar.
ghasia
Iko wasito huko Germany na wametulia nani talkers