:eek::D:D
Nitaenda huko tu ndio nikojoe ndani ya hiyo pool. It’s too beautiful, it must be peed in.
Sahii kumefurika na watu. Best time is early feb
[ATTACH=full]144948[/ATTACH]POVERTY NA PERSONAL CAR HATUPATANI
Hehehe…very therapeutic.
Haiwezi but utaparara ngozi kuliko ya kihii kiaganu
400 adults 200 children. Food iko na kanyama ni kutoka 500. chipo I think ni 100 or 150.
Hiyo mambo ya ALUVU ndio hailetangi bidii
Okuodo nini mbaya??
Inanilemea sana sana pia mimi. If there is a way to eliminate that,hiyo base inaweza kuwa my favorite hangout.
Hizo chains Ni zile Za walalo hawkers wale husema, “waria igo bangili, Saa NA shanga Ya gold orijnol Toka Dubei. Fanya aluf Tatu yote!”
Hehehe…hapana all my accessories are genuine.
Chains za walalo zinaweza kupea tetanus halafu perfume zao unajipaka once a month and you are good:D
:DMimi nipewe from Bus Station:D
camping fee?
Tembea hadi huko tom mboya mahaoi kuna gari za Naivasha. Chukua gari ya Naivash, ukifika naivasha town chukua mat za Oserian. Shuka Gate ya Hells gate. Lipa 300 then tembea hadi kwa pool ama uchukue cheki maneno 500
Asande
Good info, kurudi hata unaweza hitch a ride from other people who have gone there.
True
How do you reach there when you are at Kamere ?
:eek: