Hilo linalofanana na id yangu ni Makande kiTz
cc moneytalk
Safi
Stima?
Stima?
Umeme
Utasikia wakisema “tz wanajenga reli ya stima”. KE bhana!
í ½í¸í ½í¸í ½í¸í ½í¸í ½í¸
Koinange ni mtaa /eneo ndani ya jiji LA Nairobi
Aisee mi kuna manzi hapa ilitaka kucam lakini ikataka 30 Bob. Nikaiuliza kwani iko na runinga kama matatu ya machakos?
Kikenya umeme wanauita stima
msalimie mejja nalikubali sana songi lake la landlord
Wanachoandika hawa ndugu zetu ni kiswahili ama lugha gani??
Naona ushaukwaa usenior villager
Kwa hii kiswahili ya Kenya, yaani unaweza jikuta unatukana hv hv… hahhahahahhahaha
Hahahah
aiseee umetisha mwari
:oops::oops::oops::oops::oops::p:p:p:p:p