Paipu

:D:D

:smiley:

I dont think they ever do:D

Vile @Grundy amesema.

3 Likes

Usidanganywe na picha. First off your share of residence ni 9 ft by 9 ft. Shared toilets na maji ni ya mtungi.Ndani giza lazima kila saa stima. The upside is that the rooms are cheap (2500 to 3500). The population is very large so everyone is anonymous. Ukiwa na MWK uko utakuwa safe.Life is very cheap and business is on for almost 24 hrs. Temporary wives go for 100 to 150 with a wide variety to choose from. Huku bibi za watu huwa na side-hustle zingine noma kuruka.Unaweza kuwa unanunua bibi ya jirani bila kujua.Siku unaenda kwake kuomba pasi ndio utashtuka. Kuna mrembo nilikuwa naye huko lakini siku nilipata gari yangu imepiga magoti nikajua hiyo ni warning shot. The husband can look the other way as the wife hustles other men.Bora tu usichukuwe for keeps.

12 Likes

:eek::eek::eek::eek:o_Oo_Oo_Oo_O

Sioni mlango ya ngreen

Achaneni na headquarters za skyscrapers

1 Like

ok ok ok
at the risk of sounding naive, kindly explain the following
[ol]
[li]Temporary wives at 100 - 150?? - thats cheaper than the cost of a beer in mlolongo[/li][li]Wives having side hustles - (am assuming this side hustle is related to point 1 above) - plausible but see number 3 below[/li][li]husbands looking the other way as wife side hustles[/li][/ol]

how now? how does this play out?

have you been watching too much late night TV?

1 Like

Kuna section inaitwa plot 10,.nilienda classified misshen huko nikapatwa na mshangao

2 Likes

https://encrypted-tbn0.gstatic.com/images?q=tbn:ANd9GcQuDFiX6vQiThYPxM73cfBwLB9CezoFl2gTev3C8FVuoX6jSfab

1 Like

It’s a world apart. Ukiwa na 300 unashiba, unalewa, na unaoa (30 mins).

14 Likes

explains why our own @Female Perspective is complaining her clientele has malaysiad

@upepo not sounding ignorant but how many rooms are there in those high-rise buildings, how many people approx live in one block, kuna maji, sanitation and how do kids live? @Fala 12 Leta hekaya ya plot 10

The latter

How does the lendi trend upstairs?

Kuna part investor @upepo amekanyagia kukuambia, in between milking a person’s wife in her side hustle , the 20 storey building can come tumbling down kwa funeral birionea @nairobilay aulizwe ulisema alikuwa na wewe kileleshwa golf club kwani golf club ni Aston villa day and night club

4 Likes

:D:D:D:eek::smiley:

1 Like

I have financed more than 20 na tuseme tu kanjo na NEMA wanakula poa ku approve hizo skyscrapers

1 Like

Zikibomoka, capital inakunywa maji hivyo? Na kama hakuna maji na choo ni communal, kila mtu anabeba bucket ya maji kumwaga akimaliza?

In a single plot we have about 10 rooms per floor, multiply that by 6 floors you have 60 rooms. Each room has on average 4 occupants, discounting visitors. So each plot could make a polling station.

10 Likes

:D:D:D:D:D:D

one of this fine days i must take a stroll those sides, will give you a heads-up, you can be my guide , beer tutabe yetu yenye haina mchele

2 Likes