Ilibidi niuze hiyo shati bana…Siwes lala njaa na niko na shati. On the flip side mm pia ni birrionare sababu nilinunua shati na 1k albeit bila kutaka @mkiawakati96
6 Likes
:D:D:D:D
Kama wanyooshwa hivi mombasa, Nairobi utakufa.
2 Likes
Wajua kunyooshwa hata wale wasee hudai kuwa wajanja kuruka huoshwa !! Sasa sio story ya Nai, Msa au wapi brathe
Say hello to hunger :D:D
Fundi mwenyewe si hupata 1k a day sku izi. Watu wa mkono ndio io kidogo
UPUS
1 Like
Mjengo sio kama kukata fence ya mhindi mutiso @vuja de