Mamae m’baba unazingua, Hilo shobo dundo na lugha ya watu vipi? endelea kuelewa
[ATTACH=full]178189[/ATTACH]Akiwa Tanga kwa bibi
Tupunguze kujipendekeza,tupambane na hali zetu.
Kuna Uzi jamaa wa Kenya aliomba tusiwakosoe sana kwenye kiswahili,tukiwaelewa tupotezee na kuendelea kuangalia kombe LA dunia
Nalog off