Pesa kitu mzuri

Wacha izo

I think Kenyans are really doing a good job of it. And especially inline with keeping it in our own country. The last few times I visited Mombasa, the waiters told me ni watu wa Bara wamewakilisha. They don’t really rely on foreign tourists who are busy touring the rest of Kenya. We have a beautiful country.

@D… Mungai kuja uone

Omwami hakikisha amekuingiza TSC.dont loose focus of your initial intention.na I hope mlipima okimwi

Hio ni lake Victoria. Swafii lakini side ya Kenya jakuonista have converted it to car wash na sewage.

FISKED

Next year utaona post ya “my friend ate his school fees, what can he do?”

:D:D:D:D:D hakuna kitu hapa. Wacha nioshe kijiji macho sai tu

Cellar Cask…

Mbona plobosk inaswim kwa mto?

I see you visited Morne Seychellois within two days. Very pleasant this time of the year…except no flights out of nairobi[ATTACH=full]330409[/ATTACH]

You are trying too hard tom

Maskini akipata…

Clearly that aint kampala and we both know it. The only resort hapo of standard is Speke hizo zingine ni manyumba kando ya poluted lake. So yeah, im trying hard

unaringa na 20k?

Sijaringa, cz hata sio zangu

Wakati utahustle upate 500+, zipige picha na uweke hapa.

You are right.

Hii nugu imedownload hizi picha tu. Umbwa ghaseer wewe @Ndekwe.
Hio picha ya fish ameiba tu hapa kwa page ya Silprosa!

[MEDIA=facebook]100000975327269/posts/4398974056811728[/MEDIA]

Ayaayayaaaa

Hio samaki haileti shangwe. Inakaa… plastic. Ama ni lighting. Labda ingeoshwa na some thick stew hivi…

Kachumbari nayo imejazwa onions.