haki wacheni uchokozi…haina haja,na mostly ni watu wa nairobi…hizo pich zi zangu ni za fb period
i need an apology
o.O ati nini
:D:D:D:D:D hahaha!
No what you need is a new vaseline
haki uchokozi ni uya nini?
Mutegi ni kama alien bana. He is doing the station a disservice comparing to other stations. Pia KBC inakuwanga na ujinga ya kuleta ndume peke yake ama mama wazeee hawajui kuconduct interview.
Mutegi must be related to macharia (citizen owner) for him to keep that job. I find him totally unfit for the job
he is also very tribal
Absolutely. Unreasonably so.
i thought i was alone…bana huyu mzee
He is such a bad speaker. I never understand whether he’s speaking English, Kiswahili or Meru
Lakini sasa hata nyinyi, kuna stesheni ngapi za runinga hapa nchini?
Daktari acha nepotism. Ama unamaanisha aje?
Never ever. My point is, why not vote with your feet? No need to watch something/someone you don’t like. FTA Satellite tv, anyone?
hebu explain tribalism ya huyu mujamaa. I also find him unfit to be on TV
Very observative of you…