Ahahahaha
He he
Alikuwa hatar Yule mtu sisahu alivyoalika wadau kwenye houseparty kule sinza mzee dah ngoja niishie hapa Ila Nancy atabaki kuwa Nancy tu
Nancy kaz ilimshinda mteremko wa jk
Ulishaisha
Ze utamu utamu ndo ilikua funga kaz
Bana mpaka ikafungwa haikua na mpinzan
Nini shemu…
Nimefurahi tu mm jamani
Sawa shemu…
Ni muhimu kuchunga mzigo wako
Hahahhaha kweli shem
Umeona ee
Blogu pendwa siku hizi imekua gofu.
Badilisha rangi ya handle yako kama kweli wewe ni dem, inachanganya mara nyingi na huenda ukaeleweka vibaya
Iko hewani, tayari nasafisha macho huko
Hivi yupoje mkuu.?.mimi nilikuwa nadhani ni mvulana tu anayetumia jina la kike
She is very beautiful woman na ni hustler,ni msomi pia wa degree za ndani na nje ya nchi anajielewa sana zaidi udhaniavyo
Ukikutana nae huwezi amini ndie Nancy wa Rahatupu
But this time nadhani yupo busy na kiwanda chake cha usindikaji dats why kaiacha ile blog
Nimekusoma mkuu…
Bila
Shaka atakuepo kwenye izi social ntwrk embu tujuze username anazo tumia IG,Fb ama twitter tu mzoom
insta anatumia Da_Beautiful_Ones
nilishakutana nae ile baa ya pale sinza inaitwa igo nadhani kama nitakua sijakosea
nikupe namba yake…ile baa ya pale sinza inaitwaje aliyokua anapenda sana kukutana na wadau wake special