Ohh no…
:D:D:D:D:D
Keep the confessions coming.
hii tuliona yesu akimoon walk up juu ya maji
EDITED
I beg to differ.
[ATTACH=full]83150[/ATTACH]
He he he…
hii tulionaga wakati Adam alikuanga bado bachelor akingoja Eve aumbwe
Mimi nlionanga wakati tulikua tunakaa kwa zile gari za kuangaliana
Hii niliona tym kbc tv ilikuwa inafunguliwa saa kumi kwa wimbo wataifa
Uuuwiii!
Saitan.
Hii tuliona Waiganjo akiwa Commissioner of police.
Hii Kibaki alikuwa anaangalia wakati trouser ilianguka
wajamaa, ni nini hiyo mliona when Genghis Khan invaded Russia? sioni kitu yoyote
Hii tuliona kabla Bill cosby aweke drinks za madame michele
@Theuri wa kigogoine umejichapa sweep :D:D
Hii ni nini saa zote mnasema mliona. Mimi ninaswali, ushawahi kuchoka kuona uchi wako unapovua nguo kwenye bafu? Kama uliona zidi kuona tena uhakikishe.
Hii tuliona mejja akiuza miraa huko majengo
Hii tuliona kama “nakupenda malaika” by Mariam Makeba wa the only Valentine song to play for your baibe.
mUme ona nini ?