Salama jacka nimefurahi kukuona mana kila siku tulikuwa tunakuwaza na @carbamazepine
Niko hapa hunishindi mm jamani
Halafu jana tumosa ananipa shikamoo ananiambia moneytalk kasema nikupe sasa shikamoo yako nilirudisha na tusi tu la maana kama hajakwambia nakupa taarifa
Imeendelea ilipoishia.
Naona mambo yanazidi kuwa motooo
Natamani boti aliyopanda bokasa ipinduke basi tu
Yaan ila mm nawaonea huruma watakaoenda ikulu
Hata mimi naomba tu godwin asijesogea pale.
Mungu atasaidia jamani
Mkuu nielekeze nawezaje kuingia kwa ID yangu ya JF, manake huku imebidi nijisajiri kwa Id mpya
Mama upo, naona ushakuwa village Elder, uko vizuri
Shunie umepataje cheo Mara hii cha villager elder .Hebu nipe siri mkuu.Hata Mimi nimefurahi kukukutana huku ukimbizini!
Hahaha nipo mm nakuona villager
Pale pale mwanzo ulitakiwa uandike I’d yako ya jf nenda setting uangalie kama unaweza edit
Hahahahah mm hata sijui jamani najikuta tu napanda
Yaani imebidi niingie kwa ID mpya, manake kufika huku kijijini haikuwa rahisi. Its ram wa JF, wale tcra wametuweza
Poa, nitafanya hivyo
Yaani cheo changu kipo private sana Villager bora hata Mwanamsengi wanamuita New Villager:D:D:D
Kutoka jf expert mpaka villager hii kali
Miss you my wangu…
:p:p:p:p:p:p:p:p:p:p:p
Kweli umemiss sanaa…
Hahahhahahahhahah
hahahaaa hajaniambia,njoo nikuwao