@xoxogossipgirl umesikia ujumbe wako? Wahi mapema sana
Hii ndio Bongo
Kenge Wewe, kaa Kimya? Hujui Ulisemalo!
Mngebakiziwa forum yenu nyie walamba makalio ya mfalme juha, kuliko kukimbilia ughaibuni
Mimi kinachoniuma kulikosa jukwaa langu pendwa la kuwapaka wakenya,maana huku naanzaje ss kuwapaka shombo wale walionistiri,dah!jiwe Mungu anakuona ujue
angalia mechi yoyote ya kombe LA dunia inaweza ikakusaidia
Nalog off
Kwani hii JF ni ya watu maalumu ama ni ya siasa za upinzani???
Wakenya walivyo watu wa ajabu tukiwadissi wanàkabizi email address kwa TCRA