SAFARICOM 4G UNLIMITED

No idea. Will check receipt

Mbuyande yaa niambie

Hyo ni android 8.0 mkubwa?

Version 7.1.1
(Whareva that means)

Uncle wa SQNY hauko rada kwa hii story ya tech :slight_smile:

Hehehe. No.
Lakini wakati nauza turedio Mimi Huwa kaa zukabaga.

:D:D

Upgrade kuna oreo ya march

Jo. Watu wanajua hii mambo ya kupulizia network kushinda Gabo!

This offer will help ukiwa mashinani. Si mbaya for a weekend to stream football matches.

But Nairobi tao, hii offer ni umeffi!

Ako nyuma sana tushaupgrade hadi 8.1 yeye tu ni kukimbishana na big scrotum kwa forum:D[ATTACH=full]166072[/ATTACH][ATTACH=full]166072[/ATTACH][ATTACH=full]166073[/ATTACH]

9k per month also a challenge

Kama uko na simu mbaya tupa tafadhali don’t go on blaming safaricom hapa i have used it na speeds ni super… And i still use

:smiley: Itabidi ametulipa “consultation” fee tumuupgradie

This is a lie … at that speed you would need at least 13 hours to download 30gb . And that is if it didn’t drop to even 5mbps at any moment in time

I think he meant the download speed 5MB/S which is possible mine goes at 3-5MB/S but mostly 4… 5 only at some point

Speed test range 30-40Mbps

Siku Nokia will offer bootloader unlock and release their kernel sources, I will buy one, but for now they are meffi devices to me

Kama huelewi basic math sema, 3hours is more than 10k seconds, that comes to about 60gb for constant speed.

Kwani this was an offer. I’ve tried it leo but haileti iyo option ya 4G unlimited