Nimeweka hiyo ya Sabina joy.najua hapa kuna talkers kutoka Juja na wanaweza ni unmask.picha ya maboy wa mjengo ya nini kaka?
Nilikuwa na try.sasa akupatie ukatae atakubeba aje.lazima ufikishe threshold kwanza
at the moment sina. will call a married guy I know later in the day who uses them then inbox you guys
Hey Nana nataka nimshow nimeoa in polite way.juu nikichange link naona nitatupa clients wangu.na Niko juakali.
endelea kukamulia kwa maize plantation kabla bibi ajue.atajua tu na hapo ndio utajua haujui
Thank you
Hapo ni how much a day…?? Kuna mtu naulizia na vile naskia nka LA inaudhi, 6,500 a day na iko ivi ivi tu…
Na hapo ndio nataka kuepuka.this bicth looks like the crazy ones. Wale wanajifanya wasoft but really crazy.sasa naogopa akuje office coz aliona job card yangu.enyewe huwezi cover all evidence.aliiona kwa gallery ya phone.fuck hoped nilikuwa nimeidelete
i was once in such a situation…wife alikuja kupata panty kwa kiti ya nyuma ya gari.usitake kujua what happened.but my advice is this.kamua mtu but let her know… no strings attached from the word go.
Leta hekaya …nikipata pan tie I wonder how I would react ror
That was my mistake looks it will hang me.will try to explain nikwa mlevi akinigonga na chupa nisawa nitaambia wife ni wakora walikuwa wanataka kuninyaganya probox.
walai ata waleo anakuwaga ameiweka.tukikosana ananitolea inakuwa issue.ladies ladies ladies…nimeitafuta sijawahi jua anaiwekaga wapi.saaitan
:D:D:Dsisi wanaumme tunapitia mengi sana .ndio niokoke niache hizi tabia niliwachanisha mwingine na bills kwa club after amenikatalia ati tuende kwangu na bibi yuko.nikamshow napiga simu…mimi huyoooooooo.hadi waleo simu yake sishikagi.nikaamua kama mbaya mbaya
He he bro afadhali Mimi.naona akileta issue natupa hiyo line ya Safcom basi yenye wife hajui.
heri ivo sasa.this chics can mess you up like shiiiieeeth
at 30 yrs I would expect you have been around the block a couple of times to be challenged by such simple issues. Mambo ya sis tafta akina fp bora mtu apate mshahara.
These are the lengths you guys go to to hide an affair alafu you complain ati the ladies are high maitenance hahahahah…
Mitches!!!
:D:D mimi ni broker
nice one.
kama mimi am 31.mambo ya kudate tudem niliwacha.sasa ni kuchukua kunguru kama fp namwaga wino na kuendea bibi.
Na hii mambo unatambua sana. Wewe ni client? [SIZE=3]or landlord[/SIZE]