3 Likes
leo watoto wa shule ni wengi sana…hekaya za high skul right left
Elder hao ni kina nani ?
ndio tunarudi shule , fees ilichelewa
Hii ni dry fry.
2 Likes
villager hii hekaya iko juu
1 Like
mkamba usiniite ovyoovyo
Ata kama wewe ni mono…hapa umenimaliza…fasihi ya utanzu murwa kabisa ya lugha ya ugenini…
2 Likes
Huyu sio mono
1 Like
I suspect hako kahekaya kana ukweli. A good one.
1 Like
Hehehe hii handle ya @LIEN inakuaga ya Uwes. Uwes io kitu iko imevaa bikini lazima tuexchange notes, nipatie coordinates nicheze lotto
1 Like
Ninge comment lakini kijana wangu pia ako form two na holidays za December niliona anataka kufuata tabia zangu za kitambo.
Zipi hizo?
Nilianza family mapema Dr niko below 35 years kijana ako form two, uzuri mimi nimeweka discipline sikubali kuitwa babu mapema.