Salaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaala! Na sijasema ule jamaa wa.........

:smiley:

Kuna mtu ameitwa high priest wa corruption na BABA. Lakini Baba hakusema hiyo kanisa ya corruption inakuwanga wapi twende tuhudhurie misa.

Village robot = @vuja de

1 Like

@village robot rudisha jina yangu

@vuja de kuja uichukue. Na kama ni fita unataka useme,siiregeshi

siwezi pigana na mono

fujaaaa…new villager ni name tu. Hata Klist uliniogopa. I understand…lakini ambia hiyo jinga inaitwa @ekamsweu iache upus. Utaskia sasa ikidai monologue ndo yaendelea hapa @vuja de

sasa ulikuwa unaitwa nani huko Klost?

Hahahahahaha,kila kijiji na wazimu wake.

hiki kijiji kina wendawazimu si wachache upus na ushenzi ndo mmesheeni

:D:D:D:D:D

Juzi WSR ameambia wasee wa kupanda mbegu eti waende wakashirikiane na Kenya Seed.