Futa hii comment priss… You don’t want a backflow in your drainage…
Else you will start taking PTSD counselling sessions from the man koroga guys who come to remove shit from your toilets bowl or flooded Chambers on your yard…
On appreciation someone put a post on the same but I won’t bother sharing the link juu sikulangi kwa nyanyako…fyi I am not married and I can guarantee I doing better than your old ass.
Roof and ceiling, I will also build a small man cave away from the main house,hiyo ndio itakuwa ya mathirefu na ndani iwe na hardboards,huko ni kwa baridi bwana
Sikuizi I have bias for light guage steel for roofing inatoa kazi safi sana… lakini kama uko na miti ya Cyprus you better be careful na Wale wasee unapea kazi ya kupasua mbao otherwise you will incur huge losses. Niko na client alikatikasha mbao za roofing but we didn’t use any.
Mulichelewa kupatiana spec ya mbao inahitajika?.. sections and lengths?.. ama alikimbia kupasua bila plan kutoka?.. vile watu hukimbia kununua material halafu wanaitisha design tofauti na ile material walinunua…