Huyu aliwaka akakuwa Kama kuni.alikufa juu simu tu. Kweli hawa wezi walirogwa na mrogi akanyuria
Yaani this year alone Kayole na surrounding areas wezi wamenyuria ni more than 100. Kila wiki lazima usikie kadhaa wamekang’wa.
Maze uliona wale maboyz wanne waliangushwa leo huko ruai.imagine walisanya 3m huko inda wakawelea msee nyundo ya kichwa lakini nao walijua hawajui
Huyo walipiga ni wachie ama teller? I hope he survived.
Mwenye cheda
Huyo alipeanwa na teller ama close business associate.
:(:(:(:(:mad:
[MEDIA=facebook]id=1709921389310269;type=video[/MEDIA]
Beautiful…lakini apewe mbegu
ametulia kwa jacuzzi akingojea
awekwe ndengu