Sportmbesha..

ukitaka pesa ya haraka enda TZ ufungue fb group au telegram ya betting tips.Ukulie kabla wajue utoke na doh zao

cc

@MANKI
@KACH
@TLS

:D:D:D

DOES MPESA WORK THERE?

YES

Fisked

Quoted
“Hii ni habari nyingine njema kabisa na ninakumbuka May 2 2017 niliweka stori ya Jamaa mmoja wa Kenya aliejishindia Shilingi za Kitanzania zaidi ya BILIONI 4 kwa sababu tu alitabiri na kupatia mechi 17 kwenye kampuni ya SPORTPESA.”

wasee wa fixed matches you should be in Namanga operating with Vodacom lines

game za TZ na Ivory coast huwa tamu sana under 2.5 hadi siku izi betin wamezitoa kwa lineup zao

utapelekwa kwa waganga