Sunday afternoon cartoons

Aiii @Fala 12 I would not judge ya parenting skills but usitandike saaana. You should try and establish boundaries such that one look or question get him toeing the line. You might dispute this but talking to the little one also does the trick.
On the other hand sijui ile ufala hiyo kijana ilikuwa nayo mpaka ukaona afadhali utandike.
But chunga… Kuna ile number wao huambiwa wapige na gava.

Kuna rika huezi ground, unachapa kidogo hadi akijaribu kukosea anakumbuka anatulia, then anagrow akijua makosa ni nini

5 Likes

Huyu ni mdogo sana wa kupigia gava simu.
Tena hio kuchapa kidogo inasaidia in formative years
But we talk na yeye sana and literally hang yaani were friends even beyond ile father son

1 Like

Aaaaaaaaigh kwani hamkutandikwa?

last born ako 3.5yrs. Akikosea natuma yeye bedroom baada ya kuchapa slippers moja. Akitoka huko haezi rudia

That is the “corniest” movie ever I deleted it from my hard disk after watching it halfway.

Sinaitwo ANIMATION :mad:

1 Like

Ako na miaka ngapi?My dad has never laid a hand on me.

1 Like

2.5 yrs

ronol the barbarian…

Uncle yangu akona 3-4yr old kurutu kabisa, kijana hajawai chapwa maisha yake yote (oswahili.dll missing) wana bembeleza huyo mtoi sana, mtoi akitaka kitu ana jaribu kuchukua na fujo akinyimwa ana lia na ana anza vita. Ame haribu electronics yao mob, simu yao yote ime crack screen, ipad’s/computers pia hivyo.

Siku moja nilikua naosha keja yangu nika wacha mlango wazi ndio ikauke niki osha nguo, kuona tu hivi, mtoi ndio huyo amechomoka na DSLR yangu hadi kwao, nikajam, nikaenda kwao, kitoi kika kwamilia DSLR na nguvu nika backoff kiasi ndio asivunje, mathe yake akakam akasema ati hio ni camera yao nisi wasumbue. Nili weka ye kofi moto na nika toa DSLR yangu kwa mkono ya boy kikaniuma mkono nika weka ye kofi moto pia, matha yake akasema ata kuja kuni staki kwa anko akikam, na akanitusi, nikamshow wanajua mahali yaku ni pata. Jioni jamaa akakam kubisha mlango ya keja kaa polisi, kutoka inje jamaa akanishika shati nakuni show ataniua leo, mpenzi mtazamaji hapa ndipo boy wenu @Afröjvck ali jam yake yote, msee ananishika aje shati!!!?, jamaa alipata kichapo cha umbwa, alipiga nduru hadi guka akakam ku muokoa. Tangu hio siku hakuna mtu anataka kucheza na Afrojack.

3 Likes

Too extreme.
Mimi kuna mtoto alinitemea mate akiwa Kwa stairs juu, alikuwa Na mamake, nilimchuna mamake akinibembeleza nisimpige, nikamwambia nina watoto rika yake Na hawajawahi nitemea mate, akuna siku ntakubali wamwingine ndio same.
Was a lazy and boring Sunday, hangover kibao.

1 Like

kuna vitu zingine huwa precious and we save and sacrifice to own them halafu a spolt brat anakuja kuchukua, hata mimi siwes bembeleza

3 Likes

In season 4 Agent Pena is going “Meiixoo”

Waaah hii story imetuma pia mimi niskie kukusaidia kuongeza vibare kadhaa kwa hikio kitoto! Sipendi upus pia mimi!

1 Like