surayaa bubble imeburst

This will have ripple effects across the entire industry off plan will no longer be a selling point sasa developers ni watafute shamba wajenge then ndio wa approach buyers given the monies involved very few developers will survive

And Nyakundi should marry and bear a kid…hii kuita watoto wa watu majina will be tamed

Peter Muraya, the message is bigger than name calling.

Bubble ya greenhouse projects na banda homes ndio watu watagrind their teeth…

[SIZE=6]Suraya saga: Case of fraud or just poor financial planning?[/SIZE]
https://www.nation.co.ke/business/Inside-Suraya-Property-saga/996-5158188-5yo0v9/index.html

Hey @POP-IN,
Pop-in bado iko? :smiley:

:D:D ilifungwa back in 08 if am not wrong lakini siko nairobi siku hizi .Ulikuwa customer nini hiyo place ilimeza mashilingi zangu

Nilikuwa mteja mbaya, lakini ni kitambooo nikiwa chuo. Nyakati hizo kulikuwa pia base ingine pale karibu na Nairobi sports house.