Tanzania: Benki ya Dunia imeonesha dhamira ya kuisaidia Tanzania katika ujenzi wa Reli ya Kiwango cha Kimataifa(SGR) kutoka Isaka kwenda Rusumo

Pwahahahahaha!! Tunawajambisha sana. Miaka hii matumbo yatawauma mpaka mtaisha.

Another dik measuring kontesti thread :D:D:D
@T255 hebu weka picha ya super dik lens the only one in East Africa!:D:D:D
Kusema kweli hapo mumetushinda :D:D:D

You guys are fueling some major political rivalry between +254 & +255…the future is looking like Washington and Pyongyang :smiley:

We would level them flat. It’s only museveni who has bought a big ass jet which can cause us misery if he wills it.

Koh! Koh!
Ukiongea jambo ujue unaongea nini! Unamaanisha nini kusema hatujaanza! Ungeuliza kuwa Isacka- Lusomo Rwanda ni awamu ya ngapi, ungepata jibu mujarabu ukaelewa!

Unavyojifanya kujua vingi unaishia kujiaibisha.

Hujui kitu wewe umeishia kukaririshwa.

Nenda umwulize alokukaririsha kuwa tulisema tunajenga reli kwa mapato ya ndani kwenye awamu ipi halafu urudi hapa ujenge hoja.
Ukishindwa hilo basi hustahili kuandika upupu wako

Jinga!!! Nkamulize nani ila wewe na mwenzako? I’m not one of your women who do nothing but… Wacha tu. (leo ni Sunday)See when you and the other supa dik write stuff in our forum, we read and question it if need be and we bloody well never forget your claims.
[ATTACH=full]167345[/ATTACH][ATTACH=full]167347[/ATTACH][ATTACH=full]167349[/ATTACH] and finally, from yours truly…
[ATTACH=full]167350[/ATTACH]

Wewe ni mbumbumbu kabisa! Ndo maana nkakwambia urudi huko unakokariri ukaririshwe upya!

Hapa unelata bandiko langu kutoka uzi ulokuwa unaongelea steagler’s Gorge, ilihali hapa tunaongelea SGR awamu ya nne, ambayo ndiyo inatafutiwa fedha tofauti na awamu ya kwanza ambayo tunatumia mapato ya ndani.
Kitendo chako cha kuleta bandiko langu la mradi wa umeme ambao kiuhalisia utajengwa kwa fedha ya ndani, kwenye uzi unaoongelea SGR awamu ya nne inaonyesha ni kwa jinsi gani wewe ni JUHA wa kiwango cha PhD.