Mkuu hakuna ambae anakataa Serikali kukopa hata kidogo…
La muhimu iwe ni mikopo yenye riba nafuu.
Sasa currently tumesikia Serikali imekuwa inakopa kwenye Mabenki ya Biashara ambayo kwanza riba yake ni kubwa na secondly muda wa kaunza kuu-service mkopo ni mfupi sana hivyo kwamba, lets say kama tumekopa kwa ajili ya SGR tutaanza kuuservice mkopo kabla hata Ujenziwa SGR haujakamilika with higher interest rates.
Kwanini serikali haichukui Concessional Loans ambazo terms zake are substantially more generous and affordable than Business Loans??
Au hawa watu akina Dr Mpango na wenzie wanapata vi percent wanapoenda kwenye hii mikopo inayotolewa na Mabenki ya Biashara?
Hicho ndio watu tunachopiga kelele.
Hii mikopo ni burden kubwa sana kwa walipa kodi wa Tanzania huko mbeleni.
I get your point.
But lets consider other factors. Ukiona wamekopa mikopo ya namna hiyo labda walikosa ya mashariti na riba nafuu.
Tindo:
Mkuu kwenye post namba 15 naona nimekupa kitu kinauma umeishia kutoa like. Nilitaraji ungeendelea na mjadala nikuongezee madini ili ujie kwanini mitandao imewekewa sheria yenye nia ovu. Huku ni eneo la hard talk ndio maana huwezi kuona kiongozi yoyote anathubutu kuingia humu kijibu hoja.
Sana utamuona rais kajigeuza kasisi/shehe anahutubia na kusubiri kushangiliwa tu lakini hakuna kuhoji. Huko bungeni ndio vichekesho vya karne. Waziri anaulizwa swali la msingi, linalohitaji majibu ya kona, bila aibu spika anamwambia waziri ajibu kwa kifupi sana kwa sababu ya mda. Waziri anajibu mambo ya ajabu hata kama hayaridhishi lakini imetoka hiyo. Kwa sababu hiyo ya serekali kutokujibu kwa usahihi huko bungeni ndio unaona mafuta yamepanda bei, samaki kumla ni bora ukutwe na madawa ya kulevya. Sukari imeoanda bei na hela za korosho ndio utata mtupu. Bunge limegeuka kibogoyo haliwezi kuikanya serekali kwenye uhuni wake.
Ukitaka kujua mtanzania ni kichekesho kwenye hii dunia unakuta bei ya mafuta ya kula, sukari, samaki imepanda kwa approach za serekali lakini rais anasimama hadharani anasema anapigania wanyonge na watu wanalipuka kwa shangwe. Halafu rais kwa mzuka anatoa milioni kadhaa kumfariji mama mjane aliyeporwa kiwanja!
Maajabu hapo hayajaisha. Jana rais wa nchi anasimama hadharani anapokea gawio la 1.5b toka shirika la umma lenye 40yrs+, anasema hizo hela zinaenda hazina zitalipa ada bure, zitajenga reli, zitatoa huduma ya afya. Wakati huohuo serekali yake haina maelezo ya 1.5t kupitia mkaguzi wa hesabu za serekali. Halafu mtu anatokea anakuambia nchi hii imepata rais iliyokuwa inamuhitaji. Hapo Tanzania itaacha kuingia kwenye Guinness book?
Mkuu mimi sipendi kubisha vitu sababu ya mahaba na chama flani au kiongozi flani. Mimi nasimamia Tanzania na maslahi yake. Yeyote anaeleta hoja yenye kulinda maslahi ya Tanzania nitampa like au nitamtetea kwa nguvu zangu zote.
Mimi sio mwanachama wa chama chochote cha siasa lakini ni 'shabiki ’ wa Mh.Magufuli JP. Bado nina imani nae ingawa anafanya makosa mengi tu kama binadamu au viongozi wengine.
Inapo nilazimu namkosoa. Kwa mfano la mitandao, fedha za korosho, subordinates wake kupenda kujipendekeza kiasi cha kuwavuruga wafanyabiashara, na kutelekeza au kuvuruga mradi wa mwendokasi nitamkosoa sana tu.
Pia kuuwa shule binafsi kimkakati kama vile kitendo cha kuwanyima mkopo wa elimu ya juu waliosoma hizo shule ni kosa kubwa sana.
Wenzetu wajanja kama Marekani huwakumbatia watu waliofaulu vizuri(wenye vipaji) toka hata nje ya Marekani na kuwapa scholarship (huwalipia) ya kusoma vyuo bora Marekani na kisha kuajiriwa huko huko ili waijenge Marekani. Sisi tunakumbatia wa shule za umma tu na kuwatenga wa binafsi ambao wengi wamepata elimu bora kwa viwango sahihi vitakavyo wawezesha kuwa wataalamu wabobezi kwenye fani muhimu ktk ujenzi wa taifa letu hasa kiuchumi.
Reli ipo wapi hapo?
Where and how can I prove kwenye hizo picha zako kwamba huu ni ujenzi wa SGR?
Maana hata kwenye migodi pia kunakuwa na structures/features kama zilizopo kwenye hizi picha zako…
Wadanganye mabwege wa Lumumba kwa Chakubanga.
Ujenzi ni kweli unaendelea. Kwa pale Gerezani shughuli zinaendelea na watumiaji wa treni wanaweza kushuhudia pembezoni mwa reli ujenzi wa nguzo ukiendelea
Massa
June 23, 2018, 9:16am
24
Titicomb:
Mkuu mimi sipendi kubisha vitu sababu ya mahaba na chama flani au kiongozi flani. Mimi nasimamia Tanzania na maslahi yake. Yeyote anaeleta hoja yenye kulinda maslahi ya Tanzania nitampa like au nitamtetea kwa nguvu zangu zote.
Mimi sio mwanachama wa chama chochote cha siasa lakini ni 'shabiki ’ wa Mh.Magufuli JP. Bado nina imani nae ingawa anafanya makosa mengi tu kama binadamu au viongozi wengine.
Inapo nilazimu namkosoa. Kwa mfano la mitandao, fedha za korosho, subordinates wake kupenda kujipendekeza kiasi cha kuwavuruga wafanyabiashara, na kutelekeza au kuvuruga mradi wa mwendokasi nitamkosoa sana tu.
Pia kuuwa shule binafsi kimkakati kama vile kitendo cha kuwanyima mkopo wa elimu ya juu waliosoma hizo shule ni kosa kubwa sana.
Wenzetu wajanja kama Marekani huwakumbatia watu waliofaulu vizuri(wenye vipaji) toka hata nje ya Marekani na kuwapa scholarship (huwalipia) ya kusoma vyuo bora Marekani na kisha kuajiriwa huko huko ili waijenge Marekani. Sisi tunakumbatia wa shule za umma tu na kuwatenga wa binafsi ambao wengi wamepata elimu bora kwa viwango sahihi vitakavyo wawezesha kuwa wataalamu wabobezi kwenye fani muhimu ktk ujenzi wa taifa letu hasa kiuchumi.
Lakini ukweli mradi wa mwendokasi naona magufuli anauhujumu tena kwa makusudi kabisa. Jamaa hana huruma na hizo hela za watanzania.
Tindo:
[COLOR=rgb(184, 49, 47)]Kenya hata kama wamekopa kuliko sisi wao uchumi wao ni bora kuliko wetu. Hizo hadithi za kwamba tunakopesheka tumezisikia sana. Je kinachokopwa kinaendana na matokeo? kuna ajira mpya? maisha ya wananchi yameboreka?
Hao wanaojenga mradi ni robots? Tumia akili kidogo
Tindo
June 23, 2018, 4:31pm
27
Ujenzi uko % ngapi mpaka sasa? Hapo ndio swali la msingi dogo.
Massa
June 23, 2018, 4:33pm
28
Redeemer komaa tu lakini ukweli mzee wa komwe anazingua sana wenzio kina geza hamu hawana tena.
Massa
June 23, 2018, 4:34pm
29
Akikujibu nitag tafadhari
Hahaha mimi nipo upper layer mzee baba so haya mambo kuachana nayo inakua ngumu japo kuna kaukweli ndani ya statement yako
Of course project ipo under the schedule, the time frame is covered na inawezekana ikawa much further so bado wapo straight
Kuhusu hilo suala la ajira ndio nakushangaa unataka ajira za aina gani wakati hii project inaajiri zaidi ya watu laki mbili
Tindo
June 23, 2018, 5:06pm
32
Of course project ipo under the schedule, the time frame is covered na inawezekana ikawa much further so bado wapo straight
Kuhusu hilo suala la ajira ndio nakushangaa unataka ajira za aina gani wakati hii project inaajiri zaidi ya watu laki mbili
Jibu swali, mpaka sasa ni asilimia ngapi?
Tindo
June 23, 2018, 5:22pm
34
Sio ww tu, hata wenzako na waziri juu wanaopotosha umma kwamba kuna jambo serious linaendelea kwenye huo ujenzi hawathubutu kuzungumzia maendeleo ya huo mradi. Ni hivi, huo mradi unasuasua kuliko maelezo, na hiyo idadi ya ajira 200,000 chora chini. Hela za mradi hamna, huo ndio ukweli dogo.
Massa
June 23, 2018, 6:24pm
35
Mzee baba tupe na update za Boeing. Vipi tuanze kuweka booking za Mumbai au bado na Bombardier ya kwenda Harare Maana mwezi wa saba ndo huo
Hesabu siku 2-4 kutoka leo kisha tukutane JNIA
Massa
June 24, 2018, 6:20am
37
Sasa ndo uone umuhimu wa jf. Yaani ingekua hewani sasa hivi kila kona ya tanzania kila mtu angeshajua. Na kampani yako geza motochini mulisasa mngekua mshaliamusha dude kwa wakenya. Kiukweli mlikua mnasaidia sana kuitangaza nchi. Ila ndo hivyo tena mzee baba huo umuhimu yeye hauoni. Ukipata muda utupie maendeleo wakati wa ujio wake
[MEDIA=twitter]1010520556683358208[/MEDIA]
Reli ipo wapi hapo?
Where and how can I prove kwenye hizo picha zako kwamba huu ni ujenzi wa SGR?
Maana hata kwenye migodi pia kunakuwa na structures/features kama zilizopo kwenye hizi picha zako…
Wadanganye mabwege wa Lumumba kwa Chakubanga.
Ngedele wamekuja kupambana na hali zao huku. Wambie, hukukenya hatutaki hayo maujinga.