Wanaishi mbali na each other? How do you decide not to lenga the one mwenye anakusumbua sana? Or rather, is favouritism a thing?
[ATTACH=full]159002[/ATTACH]
God bless coomer X3
Georgie ata sota aje? Na pesa za Karume ndio inawajenga mpaka saa hii, Kadonga sijasikia any, bado Jubilee house na ile shamba ya Natives ni yao.
Wote wanaishi Kiambu, so far hakuna yeyote ananisumbua, favouritism iko lakini I try hard not to show it openly.
boss uko behind news, alienda kwa yule Shylock Indian Bazaar akapeana titles na logbook ya ile V8, madhake ndio alilipa hio loan na akanyanganywa nyumba ya Kirigiti
Kadonga nimekaa siku mingi sijamuona, mathree bado ni zake?
:D:D:D hapana haimanishi hivo, it means may Allah bless everything for you two and shower His blessings upon the two of you and may he bring you together in everything that is good.
hubwaa enda naivasha town utoe soot
Lakumaa la baraka alylumaa— What is the meaning of these words???
so unaji console vile hauna kakitu na watu kusota , ngombe .
khocha nimesota Leo niitie Kibao nikuje na manyoka za List college hubwaa hii
kuja West uunywe njemson
lakini hawezi kuwa broke akose elfu mbili aliahidi mtu za wedding
hubwaa wakanyama nilikwambia vile kulienda