watakuwa facebook saiv yale hayana akili majinga sana shenzi
@Sijuti Sio kwamba www.jamiiforums.com imefungwa kabisa, forum kubwa kama ile haiwezi kufungwa kirahisi vile. Wanavuta kasi kwani kuna shida ya faragha za watumiaji wakiweka mambo sawa watarudi kwani hawashindwi kulipia 100,000/= na kulipia ada ya mwaka ya 1,000,000/= shida ni sheria kutaka kila anayepost wamjue ni nani. Hawataki anonymous.
hapo kumtaka kila anayepost wamjue ni nani sio parahisi, Usishangae kujisajili Jamii Forums utataikiwa uwe na ID card
ha ha ha ha nimecheka sana ndugu yangu,
Tooba ni kurefusha neno Toba. kipindi hiki ni kipindi cha Toba kwa waisalm kama ilivyo kwa wakristu kipindi cha Pasaka.
Toba inatokana na neno kutubu. kuomba msamaha kwa Mwenyezi Mungu
Naona yanazisoma namba MDA huu
Dada wa Juu anasema huu mwanzo tu na hutokuwa Diaspora via technology tu.
Mwifwa
June 12, 2018, 9:47am
27
Sijuti:
Habarini za leo, napenda kuwapa pole ndugu zangu Watanzania kwa yaliyotupata. Kwakweli usajili kama usajili ni jambo jema sana kwasababu linafanya blog zetu zitambulike rasmi kama vyombo vya habari na pia tungepata fursa ya kulipa kodi nchini, tatizo ni namna mlivyolileta kwa haraka na kulipitisha bila kutushirikisha, naamini mngekaa nasisi tungejadiliana mengi na pengine tungetoka na muafaka bora zaidi.
Sasa haraka zenu zimefanya blog nyingi za Tanzania kusitisha huduma (japo zipo nyingi zilizoendelea leo japo hazijasajiliwa), matokeo yake ndiyo haya sasa, mmetuzimia JamiiForums, tumehamia KenyaTalk na faida kubwa haitakuwa kwa vijana wetu bali itakuwa kwa vijana wa Kenya wanaomiliki jukwaa hili, naomba mfahamu kuwa jambo pekee mnaloweza kufanya kutuzuia kabisa ni kuzima huduma za internet vinginevyo hamtaweza kutuzuia maana tutaendelea kupitia majukwaa ya nchi nyingine kama hili.
Mheshimiwa Mwakyembe tafadhali hebu ingilia kati, tukae pamoja, tujadiliane, tutoke na maazimio, tupewe muda wakutosha kujisajili, na ada zisiwe za kutukomoa.
Ahsanteni KenyaTalk kwa kutupatia jukwaa.
Sijuti:
Habarini za leo, napenda kuwapa pole ndugu zangu Watanzania kwa yaliyotupata. Kwakweli usajili kama usajili ni jambo jema sana kwasababu linafanya blog zetu zitambulike rasmi kama vyombo vya habari na pia tungepata fursa ya kulipa kodi nchini, tatizo ni namna mlivyolileta kwa haraka na kulipitisha bila kutushirikisha, naamini mngekaa nasisi tungejadiliana mengi na pengine tungetoka na muafaka bora zaidi.
Sasa haraka zenu zimefanya blog nyingi za Tanzania kusitisha huduma (japo zipo nyingi zilizoendelea leo japo hazijasajiliwa), matokeo yake ndiyo haya sasa, mmetuzimia JamiiForums, tumehamia KenyaTalk na faida kubwa haitakuwa kwa vijana wetu bali itakuwa kwa vijana wa Kenya wanaomiliki jukwaa hili, naomba mfahamu kuwa jambo pekee mnaloweza kufanya kutuzuia kabisa ni kuzima huduma za internet vinginevyo hamtaweza kutuzuia maana tutaendelea kupitia majukwaa ya nchi nyingine kama hili.
Mheshimiwa Mwakyembe tafadhali hebu ingilia kati, tukae pamoja, tujadiliane, tutoke na maazimio, tupewe muda wakutosha kujisajili, na ada zisiwe za kutukomoa.
Ahsanteni KenyaTalk kwa kutupatia jukwaa.
Jiwe ni kichaa kabisa, atapambana lakini hatoweza.
Teknolojia ya sasa hawezi kuizima hata kidogo, anataka kuficha maovu yake kwa kuzima mitandao, anakwama sana.
Platform zipo nyingi tu, akizingua pale tunaingia pale.
Sijuti
June 12, 2018, 9:49am
29
Mwifwa:
Jiwe ni kichaa kabisa, atapambana lakini hatoweza.
Teknolojia ya sasa hawezi kuizima hata kidogo, anataka kuficha maovu yake kwa kuzima mitandao, anakwama sana.
Platform zipo nyingi tu, akizingua pale tunaingia pale.
Labda wazime Internet kabisa, japo bado kuna njia ya kuipata pia ikizimwa!
Yani yale madini yote ya jukwaa la kilimo na ufugaji tunayakosa.
Kweli ccccccccccccm SIO.
Tetty
June 12, 2018, 11:00am
32
Ninachoweza kusema kwa wenzetu wa Kenya Asanteni saaaaaaaaaaaaanaaaaa maana ile hasira ya Bongo itahamia huku full kabisa tena watakomaje
Kuna mdau alishauri JF ibaki open lakini michango mipya izuiwe mpaka hapo watakapokidhi matakwa ya serikali lakini sijui imefikia wapi.
ila jiandae kufanya process ya usajili kama unasajili number mpya ya simu
Tetty
June 12, 2018, 11:15am
34
Yaani we acha kabisa.Leo nimeuona Msafara wa Big Boss nikadhani naota niko Rwanda au Burundi kumbe niko Bongo.Yaani siyo kwa Wajeda wengi vile hata sijui anachokiogopa Mukullu wange
Tetty
June 12, 2018, 11:16am
35
MTANZANIA:
Kuna mdau alishauri JF ibaki open lakini michango mipya izuiwe mpaka hapo watakapokidhi matakwa ya serikali lakini sijui imefikia wapi.
ila jiandae kufanya process ya usajili kama unasajili number mpya ya simu
Waache wafunge tu,wakitaka kuwa huru wairudishe ilipokuwa zamani US,lakini kwa bongo watu hawatakuwa huru kabisa.Ngoja tuwe Daispora huku KQ
Mdesi
June 12, 2018, 1:37pm
37
Sheria zile zote zilikuwa zinailenga Jamii forum. Zaidi jiwe linawasiwasi kuwa kwa kuwa limebana vyombo vingine, akajua kuwa nguvu ya mtandao ni kubwa yaweza leta mafuriko
Mdesi
June 12, 2018, 1:41pm
38
Let us welcome our fellow here
Mwifwa:
Jiwe ni kichaa kabisa, atapambana lakini hatoweza.
Teknolojia ya sasa hawezi kuizima hata kidogo, anataka kuficha maovu yake kwa kuzima mitandao, anakwama sana.
Platform zipo nyingi tu, akizingua pale tunaingia pale.
mkuu mwifa tupo huku? Habar yako
nimemuona paskal tushavuka boda