Majanga sana,ngoja tuone atapata anachokitafuta.
Watu wangu wanaangamia kwa kukosa maarifa
Mwisho yatamkuta ya yule aliekua mke wa Obasanjo
Sijaelewa…
Kila rika lina raha na ladha yake. Pole kwao wale wote ambao wana hofu ya maisha ua rika/umri mwingine. Hawa ni watu ambao hata kama wana yapenda na kuya furahia vipi maisha, kama kabla kuzaliwa wangepewa nafasi ya kuchaguzaliwa au kubaki huko huko, wangechagia kubaki huko huko.
Na sasa wanaishi huku wakiiogopa kila hatua inayofuata.
si angeenda na yule kiparangoto wakamkate nae kile kichwa juu ya shngo yake waweke hata puto mana hakina kazi au abakie na kiwili wili tu.
Labda ngada za kulevya zilikuwa zimemwalibu utumbo siana jifanya kontena
Naogopa!!!
:D:D:D:D:D:D:D:D ama kweli umechukia jamaa
Bila picha ni porojo
Whatever
Wamkate na kisimi pia…
Amini