Hiyo kunguru ilikuwa imeokoka
From what I’ve read makanika alipigiwa smile na kunguru akiwa kwa Bajaj
Kunguru spotted with mekanika
[ATTACH=full]167870[/ATTACH]
in other stories
[ATTACH=full]167871[/ATTACH]
the bald also cry…
BTW @introvert I stumbled upon a village of sly bald guys like you. https://www.slybaldguys.com/smf/
:D:D:D:D
Naenda huko.
ukipoteza archibald utarudi Pattaya
hii hekaya lazima tuambiwe
At least hautaona footprints zangu tena
@introvert kawaida tunasema pamoja [ATTACH=full]167887[/ATTACH]
halafu pia ukiona amekufanya ivi kimbia
[ATTACH=full]167888[/ATTACH]
[ATTACH=full]167908[/ATTACH]
btw nikitoa kunguru manyoya ni i dissect vizuri nipike na nyanya na vitungu niweke Royco munasema siwezi kula kwa ugali ni enjoy ?
Nyama ya kunguru ni toxic, hata ukimarinate na Diazinon haisikii.
Kunguru hula kila kitu kama wanyama na ndege wadogo, wadudu , mizoga, matunda , nafaka na pia binadamu, so chunga hasikudisset wewe kwanza
:D:D:D
@admin ona hii ng’ombe.
Ama ni the Bald and the Beautiful?
Inakaa leo kunguru alikuwa mchokozi sana.
[MEDIA=giphy]RRcV1iVG7Tl84[/MEDIA]
Hii si fair.
Sheppart haijasumbua mtu.