The Okari Effect

That Grecian Mrs must be suffering bila mbuzi, cabbage na njahi, she must be visiting her mother every weekend to stock up:D:D

Wasee kuleni hiyo melon inasaidia sanasana watu wa nyama na tusker

Can you digest cellulose my fren? Uko na cellulase? Unaweza pika cellulose ikaiva ndio ukule? Heheheee…Unafikiri ngombe ikikula exercise book haitadigest? Lakini look at the proportions. Angalia tumbo ya ngombe na uangalie tumbo ya mbwa halafu tumbo yako (kama hauna kitambi).

I know what I am talking about sio mambo na kupika. Actually cooking helps more with nutrient-packed foods like meat. Greens, ftuits na cereals unaeza kula raw tu.

And before you go calling people idiots chukua microscope uangalie mkundu wako vizuri. Najua hujaelewa. Heheheee…

Idiot.

I once was a house guest somewhere tukapikiwa hiyo kuku, I could smell some anti-biotics kwa umbali. Hiyo smell mtu hupata kwa sweat ama urine after taking antibiotics medication.

Real savage :D:D:D

Hio takataka had my first bite nkiwa class 8 and despite looking yummy tasted like a Kay apple. Nkasema tawe!

:smiley: I mean how can Duke ban the cabbage… how so? that is our fav veg…tukiongeza maji as we go along. Uliza Okiya…mimi nilicheka nikakufa. Okiya said we cook with maji za mtungi next to us raiight?. Ati tunaongeza maji as more guests arrive. Ghai…Mungu alimuona tu.:D:D:D:saitan: as for njahe, I mean I mean I mean…I cannot live without them. I boil them, I see my fellow residents opening all windows…nacheka…sana.
As for Duke, he said he knows the terere I will prepare for him will be a flood on a plate.:mad:

Anyways @Duke of Busia…leo unakunywa wapi? naweza buy 1 or 2…

any wise person didn’t need okari to tell them that Nairobi meet is full of bad stuff. The absence of houseflies in butcheries is more than a warning.

Aki njahi nikijaribu kumeza me ufeel zina ni nyonga. Kaafisi is one boring vegetable, Mara iko na ka utamu Mara ni maji maji Mara ni green Mara ni white.

:D:D:D:D @Mrs Shosho ambia uyu tuko sawa and you never complain

:D:D:D:D
How about Tea with tubers for breakfast then my favorite lunch meal ni matoke mixed na viazi then jioni iyo nawachia mubibi ani treat

Am the DUKE wotDuyu expekti

topic ikifikia ya uji tutakuita,rudisha hio kitambi ya uji na huko,shaitan

Muthamaki ananiyua sana. Ni beshte wangu for almost a decade now.:smiley:

Not seen your reply yet and the drink bado iko on me… so pls listen to Craig before nilale.

Nataka ulewe Duke…

Hehehe, kweli ako sawa, naskia kila weekend ako[SIZE=1] thatched house[/SIZE] amekalia mukimo ya njahi, bowl kubwa ya cabbage na mbavu:D:D:D

Hahahahahahaha ebu kuja kwanza nikupeleke huko.