stallions hazichezwi hivi …eat or be eaten
[ATTACH=full]139397[/ATTACH]
Hiyo “ashubuyi” is a dead giveaway!
Za wanaume hupotelea kwingi
And his mother probably lives in a mud hut with no running water.
Jesus is watching him.
Kuna moja alinirushia inbox siku moja 2015. I was bored so nikasema wacha tuone mahali ujinga umefika. I frustrated the guy so much hadi akaanza kuwa desparate…hawa watu ni jinga kabisa!
Kuna mmoja alijaribu kunicon nilikua nimeweka ad Fulani ya biz na hakuna vile huyo con mzungu angeweza hio biz alijaribu nikalenga hizo calls na SMS baadaye nikama alijua