Morning to you babe
Daaa umenikumbusha jolie jolie wangu
Hahahha nn sasa
Mwambie aje huku
Ata sijui ni nini ila najikuta nafurahi tu
Hahahahahahah jamani bila sababu kweli??
Kabisa yani, ila labda ujumbe utakua umenifurahisha
Hahah sema hakyaMungu
HakyaNani tena
Hahaha sjasema hivo
Hahah!! Umesema hakyaMungu
Eeeh mesema hivo
Aya na mimi ndio nishasema sasa
Hahaha haya sjabisha lakini
Woyoooo…
Mpendane tuuu jamaniii, hakuna furaha kama kupata mtu anayekupenda, kukuelewa, kukuvumilia, kukuheshimuu na kukupa mahelaaaa!!!
Mungu awajaalie kila lenye kheri jamanii!
Haha lazima ugusie pesa wew
Ahahaha @Sakayo unaongea ukweli kabisa,
Amina mama Mungu mwingi wa rehma atatufikisha kule alikotuandikia, hapo kwenye mahelaa hahaha me nataka kupendwa kuthaminiwa kuvumiliwa kuheshimiwa na anipe muda wake anijali had nijionee wivu mwenyewe na yote anafanya nashukuru na anajua kujingeza mana siwez kuomba hela kabisa
Hahahaha
Sasa nani ampe mbebez wake mahelaa… Hata ya bando la kuja Kenya jamaniii
Ewaaaaa
Kama anajua kujiongeza hongera best… Mwenyewe kuomba mtihani ila mwanaume akishakupenda lazima ajue wajibu wake!!
Mungu awatunze mwaya!