Farah12:
Dikteta ni Dikteta tuu, hata wewe una dalili hizo. By the way this topic has total relation with how Chadema is run, before you start pointing your finger outwards, first look for inwards into yourselves. Nimekuja huku kwa sababu hii ni Jamii Forum NA sio Chadema Forum
Farah12:
Dikteta ni Dikteta tuu, hata wewe una dalili hizo. By the way this topic has total relation with how Chadema is run, before you start pointing your finger outwards, first look for inwards into yourselves. Nimekuja huku kwa sababu hii ni Jamii Forum NA sio Chadema Forum
Dikiteita amefunga JF mkashangilia, sasa huku unatafuta nini? Una akili ya kushikiwa kama mlivyo lumumba. Mmelogwa!
idawa1
June 19, 2018, 8:07am
22
BAK1:
Twendeni tukajenge maskani mapya kule bongoforum.com tusisahau kuwashukuru wenyeji wetu kwa ukarimu wao wa kutupa sehemu yetu ya kujibanza na hili gharika la huyu dhalimu.
Wakati tukisubiri kujua hatima ya JamiiForums mambo yote ni kule Bongoforum.com
Tuwekeze link maana kila niki Google nakutana na vitu visivyojukana…!
kweli mkuu japo ni ngumu kumpangia mtu nini cha kufanya lakini kuja na ID zetu za jf itapendeza sana
BAK1
June 19, 2018, 10:11am
25
Tafuta Bongoforums.com Mkuu nilikosea nikasahau kuweka s kwenye forums.
BAK1
June 19, 2018, 10:23am
26
Bongoforums.com inadaiwa hii iko majuu, lakini mwendo kwa tahadhari kwanza maana hawa wahuni na wauaji hawasiti kufanya lolote lile ili kutunyamazisha Watanzania.
Farah12:
Kuna usemi “ MALAYA HUPENDA KUWAITA WENZIE MALAYA KABLA HAWAJAMUITA YEYE HIVYO”
Nyie vijana wafuasi wa Chadema, mnajua kuwaonyeshea vidole wenzenu, mbona HAMUUONI UDIKTETA CHADEMA, MWENYE KITI WENU HAKUBALI ELECTION YA KITI CHAKE, NA ukijaribu kulizungumzia hilo It alionao last kina CHAHA WANGWE NA ZITTO KABWE
Comments zako zinafanana sana na avatar yako umeongea mambo ya “kifala fala” OVA
Sidhani kama kuna Transcend mwingine humu.
ACHANA NA BONGOFORUM INAWEZA KUWA IMEANZISHWA NA VIJANA WA JIWE KUTUNASA, ACHANA NAYO PLEASE
Hata mm kule nime kushtukia napita kama guest tuu.