Tumeletwa kwa wingi!!!

Mazda carol cc. Mrogi

[ATTACH=full]184273[/ATTACH]

Hii ukifika kwa bumb au mlima unashuka, unabeba halafu unaendelea na safari.
Very conjugal

While in his right mind will buy that shit for over $7000 factoring in insurance.

Shiet ata wewe umeamua kubomoa kabati na flying kicks :D:D

…hata wewe umeamua Kulipua Kabat

Nitafutie high end Kadudu :smiley:

@introvert hiyo tata inaweza ruka hii bumb kweli?

Its worth the money ata tuk tuk hufika 400k. its a new thing.
I have been toying with the idea of buying a new car rather than a large car.

@epoch umeamua .dll kama mbaya mbaya. Lemme guess, wewe Ni mtu mwa ‘migwa’ hehe

:D:D:DHii thread imekulishwa left turn na explosion ya kabati

osungu apan tambuwa. Kama ingekuwa gari ya >2400cc ningecharipu

Ebu nikuulize mbona wakisii hula miwa kwa basi usiku was manane?
I travel often hizo sides. Nishagundua tukifika pale kiundu en route nai, lazima mnunue. Kazi Ni kutafuna tu kwa giza na kushhh aaaah shhhh ni kama @Shiroe akiwa on the receiving end

You would prefer to buy a 2018 Toyota passo for 1.5m over Toyota premio 2011 or 2018 Honda crv over 2011 prado because they cost almost the same.

Watu wanabomoa kabat everywhere

1.5 million or therebouts can fetch you that “kenyan” volkswagen polo na niliona si kabaya. I am never buying a 7 year old small car again. if its a saloon, hatchback etc the newer the better. CRV maybe a 2014 or rather something with 30,000kms or less. Returning old cars to pristine condition proves expensive. Maybe my problem is that i like driving a perfect car. kama zile za @introvert zinaeza nifanya nikufe na stress ya kubadilisha parts especially if its rattling or has filler. I find myself having to shoulder big problems brought by negligence of previous owners. I am slowly understanding why people in developed nations will pay $50,000 for a new car rather than go into a yard and fetch a running SUV for $3000. they seem to understand cars.

:smiley:

Okay.

This is the way to go…hìi ndio gari ya town…All we need are good roads na watoe those huge bumps. Never understood why someone would cruise in > 4500cc in an urban area…primitive

Right. In developed nations they price cars of the same model by the mileage. Eg a 2017 Toyota x with 50,000 miles or a 2018 Totota x with 52000 miles. Price almost exact.