ohoo ajitahid me nmejiunga tu dk 2
Shunie anatumia opera mini nadhani ndo maana inakuwa slow
Jamaa kaandika kama vile ndo tumekimbia hadi nchi
Karibuu
Ticha hadi uku umekuwa mzoefu ghafla.
Asante sana
Wapi shunie
Naunga mkono hoja
Halafu kweli
hahahaha sichelewi
Niko hapa shikamoo mkuu
Nakazia jamani waweke app yaani
Marahabaa mtoto mzuriii…naona umerudisha kile kigauni:p:p:p:p:D:D
browser inachosha sana
Mm nahisi tutaonana wakiweka app jamani
Nimerudisha kile kigauni chako sijui nitaambiwa nikitoea yaan sijui
Hicho hicho ndio chenyewe…
Wooooooozeeeeeeerrrrrr
hahahaha hivi hakuna stor uliyoichia katikati kweli kule jf?
Dunia haina usawa ila nilimwachia Jackal aimalizie hata pa kumpata sijui