Hivo hivo tu ilmradi mambo yanaenda
hapo sina ubishi mpwa wangu mke ni mke tu uko poa lakin
Sie wengine ndio hatukutakiwa kuambiwa eeeh
Nipo poa mm hofu kwako tu
Naanzaje kukwambia mm hata pm unapaogopa jamani au ndio unataka kunipa lawama
Hahaha, asee acha nikae kimya ,kumbe mnaitana huko PM?
Sasa ningekuita wapi nitoke nianze kupiga kelele jamani namtafuta mtu chake tumehamia kenya talk
PM kuna mtu alinimbia sina hadhi hy ( ya kuchat PM ) so nimekua muoga km nini
Acha wivu, utajinyonga. hii Dunia iko speed ya ajabu
Yasipoenda
Mchepuko bila mizinga ni sawa na spea tyre bila upepo
Duuuh kwani umejuaje?
:D:D:D:D
Mzima wa afya tele hiv wakina bitoz na shululu wapo humu kweli?
Duh…
Anatafutwa mme wa mtu mwingine
Michepuko sio dili
Wamekuelewa
Accepted
Hebu weka na side ya pili, mke wa mtu akiwa mchepuko…