Wewe @Demii ibadili hiyo rangi ya avatar yako, wafanya naonekana gay
Demii:
Unapenda mkuyenge?
Nataka tu kukunyandua masikio, hiyo ni fetish yangu
Demii
June 16, 2018, 2:32pm
25
Ha haaaa wapenda mkuyenge weye
Wacha hizo my DEER, tuingie inbox kiasi
Ahsante sana kwa kunifungua macho
Nalog off
Hayo MAFUTA m
Hayo MAFUTA mazuri ni SHIDA. Unakuta HD papuchi inapoteza harufu yake original, Mbaya kiasi lkn INA mzima sana. Yaani inakula mzigo chumba kinanuka harufu ya manansi na strobel, mzima hupotea. Kuna kale kaharufu ka wadala safi sana.
Raha ya mzinga upigwe na unayempenda
Hajar
June 17, 2018, 4:45am
35
Ewaaaaa. Ndugu hapa watakaokuelewa ni wale wanaojitambua tu. Bhaaas
Kwha
hapo
hapo hadi,kwa setting ndio pahala gani.?
Ila mizinga ikizidi inakuwa balaa…
Kuhudumia mwanamke wala siyo kitu cha kushangaza ni jambo la kawaida sana…
Tena kwa sisi wanaume ni ufahari sana pale unapokua na uwezo wa kummudu mwanamke kiuchumi…
Cc: @Mahondaw
Ukimtumia sms ‘‘Mambo mpenzi wangu?’’ akikujibu ‘‘mambo mabaya’’, usimuulize kwanini mambo mabaya, ukimuuliza atakwambia kuwa ‘‘sina hela dear’’
Ukimtumia sms ‘‘Maisha yanasemaje kipenzi changu’’ akikujibu ‘‘maisha magumu hubby wangu we acha tu’’ usimuulize kwanini, ukimuuliza kwanini atakwambia ‘‘nimefulia mwenzio kama nini sijui’’
Ukimtumia sms ‘‘Mbona kimya sana mchumba wangu, umenitupa kiasi hicho’’ akikujibu ‘‘sijakutupa wangu yaani mambo hata hayaendi’’ usimuulize kwanini mambo hayaendi, ukimuuliza atakwambia kuwa ‘‘yaani sina kitu mpenzi wangu, simu ilikuwa haina hata hela ya kubeep’’
Au ukiona mwanamke anaanza kwa kukwambia nikwambie kitu? We mkatalie kiutani utani tu, mwambie usiniambie, hata akikomaa vipi akwambie mwambie sitaki uniambie huku unafanya kama utani lakini moyoni unakuwa upo serious.
Ni mara chache sana mwanamke akikwambia kuwa mambo mabaya, maisha magumu au mambo hayaendi huwa na matatizo mengine kama kuumwa, misiba… n.k lakini THE REST ni wapigaji mizinga tu. Akikwambia maisha magumu mjibu ''pole wangu, mambo mengine vipi?
Hahahaha njia bora ya kubana matumizi…thanks mkuu