Hahahahahahahahhahahahahahah
Hahaha huo ubuyu wa kidoti achana nao usije ng’olewa kucha hizo bure ikawa shida
kammiss kijeiefu itakuwa hahaa
Yaani sijui yuko wapi jamanii!!
Aunt espy anaweza jua penye ako, nae simuonii!! Kuna muda natamani kubebishwa lakini ndo hivyo tenaa
Hahahahahah
Jeifu yetu bwana
Hahahhaha mwenyewe nimemiss jf jamani irudi tu hata nusu saa
Hahhahahhaha mtumie link nae akuje uku
Hahahahahah
Jf ilivyozima Mara ya kwanza tulipanga kupeana namba, sijui ilikuwaje nkapotezea! Sasa si imezimwa kabisaaa jamanii!!! Nammiss sana mhenga mwenzangu
Hahahah!! Sawa basi baadae tutakutana nyumbani
Hahaha
Ikirudi nitajibu pm zooote, aaaah kumbe imefungwa!
Kama ni tofauti na hvyo hahaha kazi ipo
Hahahahhahahahha mlikuwa mmeshafika mpaka pm nacheka sana madai ukaringa kutoa no sasa hivi usingepata shida ungekuwa unabebishwa tu hapa
Ndo ukute aliringa kutoa namba
Siriazi!!? watu wanamisiana laivu
Si utajibu tu ulizokuwa unachat nazo halafu uachage kufunga pm sio vizuri ujue
Tunamissiana bila kujuana
Hatukwenda pm, ilikuwa jukwaani tuu! Tukaambiana tupeane namba
Hahahahahah
Namtaka Eli79 tuuuu
Hayo mambo ukiwaambia mapema wanakuwa hawaelewi. Kuringa mwisho dk 20 hahaha
Khaaaa
Nyie watu mna hatari kwahiyo no mngepaeana jukwaani au mngepelekana pm