Lord have Mercy!!!
Unawaza ambayo hayakusaidii chochote kile, kwani kule tulikuwa atuandiki hivi?? Empty set kabisa
Ni aibu mtu mzima kuandika ujinga…
Pengine mwandishi wa posti ni tineja…
Kwani hujasoma kile kisa cha ‘Siku ya gulio Katerero’? Huko ndiko ule mchezo ulikoanzia…
hahahahahahaah
Bibi weweeee:p:p:p:p:p:p:p:p:p
Ufike salama Babu
Amina mjukuu
Sasa mie ni boy in the house sio house boy, wasemaje?
Kwahiyo ww ni kipisi??? Empty set kabisa
hata mimi nilitaka kuuliza
Dah! Kile kijiji aisee kina umaarufu wa aina yake, hongera kwa kua mwanakaterero, na karibu sana kambi ya kankuma
Hivi miaka 45 ni mzee? Nafikiri kuna tatizo mahali>>>>>
Kwa mtu ambaye anajali afya yake na hela ipo huyo ni kijana mbichi kabisa…
Kweli kabisa ,kama mtu ana mazoezi mazuri na anautunza mwili kwa kula vizuri anaweza kuonekana kama ana miaka 33 hivi.