Kunywa konyagi. Ni smooth kuliko BM alafu mdomo yako hainuki ni kama umetoka kinyozi
kuna semi-kunguru ameniangusha vibaya sana leo, amejitoa last minute
mimi huona vile colombo combolo hupelekwa mbio na hiyo konyagi hapa kijijini naiogopa, plus it’s 35%alc (if am not wrong)
siwes , nili experiment 2012 kuota niliruka na kila msee kwa local mpaka nikatolewa nje nikasema never ever
Konyagi iko sawa but bluemoon , chrome na hizo changaa zingine zenye 750 ml ni mia tatu siwes guza
Changaa sacco
:D:D ati semi kunguru?? hahaha
hehehehe…huyu yuajifunza kuwa kunguru kamili
chapa vitu kabla aruke the other side. au maybe she is somewhere crossing over to kunguru-hood . :D:D
amekuwa akiniokolea hapa na pale nyegewise, ni vile leo amenibwaga na vile nilikuwa nimemsubiria kwa hamu
hio nimechukua tafuta kienyeji ingine
count your losses. she is somewhere in Naivasha drinking a fisi’s Jameson waiting to nourish his dick. That is what makes the earth go round. Winda upya :D:D
Hii kitu wanatengenezea karibu na kwangu na siezi ikunywa.
mbona?
hehehehehe…wanaume maskini kama sisi tuna shida sana; yaani tujilinde dhidi ya nyege, njaa, sponsors, na mafisi wenza maskini kama mimi
Ile harufu imejaa hapa mtaani ata unaeza dhani ni dawa ya kupe wanatengeneza
i’ll try konyagi next time
Afadhali hiyo hatujui mahali hutengenezewa
It may not, but B the liver?