Ila vibonge wa wastaani wanajitahidi katika kunyorosana…
Ila mabonge zaidi huwa ni kweli kwa kweli…
Ila vibonge wa wastaani wanajitahidi katika kunyorosana…
Ila mabonge zaidi huwa ni kweli kwa kweli…
Mzee wa safari lager upo?
Okay
Sasa kwanini wana wivu sana na gubu?
Watu wembamba wana gubu wanaume wa Mara wanasubiri
Hahahahahhaaa… usinigombanishe na rafiki yangu
Acha uzushi, inamaana hujui rafiki yako mkurya?
Mfungo ukiisha ntakufundisha Kikurya.
Nipo nipo mzeebaba…habaree
Duu,sisi wenye wake wembamba tuna taabu haswaaaa.
Vibonge wana utamu flani hivi wa kipekee na wa aina yake, wembamba mifupa mingi. sema vibonge pumzi tu kuhimili dk 90 hawaezi
Ni kweli ila wauswazi wakati mwingine wasumbufu tu.
Mkuu rudi kafanye utafiti wako vizuri unasemaa
Akajipange na huu utafiti wake
@Shunie nilifanya utafiti kwa kutumia sampuli 80 tu, ukinipa ruhusa nipate sampuli 10 toka jukwaa hili huenda nikapata jibu tofauti
Dakika 90 hivi unamkimbiza au?
Nakualika kuwa sampuli elekezi
Basi unaokutana nao ndio wako hivyo usiseme wote
Siafiki mpaka nipate wa jukwaani
Hahahaha hizo ni mgegedo tu bidada… vip nawewe ndio wale vibonge dk 10 unaanza kuomba sub.??