Viceroy vs Legend

Tulisema watu wasianikane bana

Or so it says on the bottle.

I have never tasted it but those days I used to take makali I noticed it was popular among university kids.

Huyu jama ni true birrionaire trust me

am not understanding…cjawai buy mzima mi hupimiwa ka quota ya napoleon pale kwa shoshoro

hii napoleon kuna wakati boy wangu fulani alikuja nayo kwangu, hiyo pombe iliwacha smell ingine hapo mbaya kwa glass alitumia, ilibidi nisoak kwa maji moto

Kama hukufanyia hiyo research yako high school wewe ashia wadau hiyo sekta. Hapa utajipata ukikunywa maji ya mtaro my friend…keti kwa kona.

Rum and coke is my regular.
If I have to work early next morning, I take gin and tonic (and occasionally add a slice of cucumber)
Whisky shots once in a while- normally when I’m entertaining and I have a few people to share with. I rarely take shots when I’m by myself. I prefer Scotch over Bourbon.
Vodka I never touch! I hate the smell. I’ve tried flavored vodka lakini next day headache…wacha tu.

:D:D:D:D:D:D:D:D:D:D:D:D:D:D:D:D:D:D:D:D:D

Huyo alikuja na ya made in Kariobangi.

Brandy’s are distilled spirits from fermented fruits… difference is age, some are two years old while others are up to 20years. Oh and they can be made from different fruits. So am sure kama legend ni ya kenya lazima ni less than a year old while viceroy hua over five years old…but I have had the privilege of testing ya 10years, 15years na 20years pale Van Ryn factory western cape…very smooth but expensive…and all made from grapes.
For the uninitiated brandy is just mature wine

wazito sisi humesaaa gibleys gin

Legend…muoto wa kuotea mbali…there is a guy who mixed dry Legend + dry Kane Extra…the taste…kama acid. Nigga iliokotwa kwa mtaro wa maji the next day semi-conscious.
Legend is not as refined as viceroy. Then some joints take advantage and fill keg in Viceroy chupas (when u shake it, it foams kama beer) :D:D

Shenz… Mtu hujikuna pahali mkono inafika