Huku tunahitaji warembo.
warembo wakali wenye neema za uumbaji
uumbaji wa jiwe ulikuwa na makosa makubwa mno
Aaah Mzee baba upo? Nadhani utarudisha ile kawaida yako…
tupo aseeh mitambo ikikaa sawa nitarudi
Yajayo yanafurahisha…
Yanafurahisha usoni lakini mioyo inaumia
Inauma nini tena?
Tena tukirudi JF tuwe makini
Makini itatushinda tutabaki huku tuwe huru
Huru kweli kweli
Kweli waKenya wanajua kutumia fulsa
kweli bongo nyoso
Hajar yupi unamsemea Mangi. Hahahaaaa.
Ila uko vizuri bana.
Fatilia prof yake umuone alivyo mkongwe humu
Yupo kajaa tele. Ila nimecheka eti kipenzi chake. Hahaaa
Humu naona kajiunga kitambo aisee. Mangi anajua kuota ila nimesikitika hata hakunishitua.
Moyo umetulia kusikia ubavu wangu upo humu.