watapata tabu sana! wivu ni suna vumilia tu mkuu
Tena ni rahisi kweli kusema sukari imekwisha, mchele umebaki wa milo mitatu hata mafuta ya kupikia yamekwisha.
Kazi kwake aliyeambiwa.
Nasubiri Siku Utakayoingia Gesti Halafu Apate Taarifa
Usisite Kuja Hapa Kutugea Feedback
slim5
June 28, 2018, 3:51am
24
SaltyLight:
Hahahaha… mleta mada.
Yaani kabisa! Serious umeamua kunicheka!
slim5
June 28, 2018, 3:52am
25
Nina mpango wa kwenda logde na informer wake!
slim5
June 28, 2018, 3:53am
26
Kazi anayo ila kajiongezea Kazi
slim5
June 28, 2018, 3:58am
28
Wale i
informer wake wakiniona na -me hawamwambii au laah wanamwambia lkn hapigi simu! Au nikiwa na wadau -me, informers wake hawatokei!
Informer wake ni simu yako … ameifanyia mandingo. Sure I tell you mimi babu yenu
slim5:
Babu ushaniharibia mood.
Huyo my wife wako kuna kitu kakifanya kwenye my phone yako. Chochote unachoandika anakisoma, chichote unachoongea anakisikia na popote unapokuwa anapajua… kama huniamini nunua kasimu tochi uweke line yako uone kama hivyo viswali unavyoulizwa vitaendelea…
Stuka kijana… think!
Sakayo
June 28, 2018, 5:50am
32
Vipi kuhusu jinsia ke, inasema pia?
Kama unaongea nayo naye anasikia sauti zenu atashindwaje kutabanaisha sauti ya jinsia KE?
Mpe mtaji ajishughulishe maana inaonekana mkeo hana kazi ya kumfanya awe busy
Sakayo
June 28, 2018, 6:22am
35
Sasa anasikiaje wakati mmekutana njiani
Mkeo nae atakuwa m’mbea bila shaka, Pole bro hayo uliyataka mwenyewe kwenye Uchaguzi wako. PAMBANA
[quote=“slim5, post:1, topic:165132”]
Moral of the story:
[ol]
[li]Wake zetu muelewe kuwa, hii mikate tunayoleta nyumbani, inatoka njia nyingi na sio lazima njia zote mzifahamu, kwanza baadhi ya njia hizo ni temporary, zingine tunakuwa tumebet![/li][li]Kuna michongo mingine tunaiset humu mitaani, haina uhakika kama KARATA 3 ama Chafu 3! Kuna kula na kuliwa, ikitokea tunabutua, tunasema, tukiliwa tunakufa na maumivu yetu![/li][li]Wake zetu mjua huwezi kuambiwa mitego isiyo na uhakika wa kupiga hela! Hamkawii kutibua coz baadhi yenu ni roporopo! Kuna baadhi ya deals ukiwa roporopo zinabuma![/ol][/li][/QUOTE]
[ol]
[/ol]
Hapo nakuunga mkono Mkuu, sio kila mchongo wife ajue sometime wanakuwaga na kiherehere hadi wanaharibu mixer wanaeza iweka kwenye hesabu kabisa hela ambayo hata mwenyewe huna uhakika nayo na ikikosekana wanaanza umehonga.
panzi
June 28, 2018, 7:12am
38
slim5:
Wanajamii walio wakimbizi walio wanavijiji!
Nawasalimu sana!
Mada tajwa hapo juu inahusika sana!
Naomba niende katika Mifano halisi!
Mfano wa Kwanza!
Kuna siku nikiwa katika mishe mishe za kutafuta Mkate wa kila siku, nikawa na mchongo flani wa hela ambao wadau walitaka tukutane maeneo ya Ubungo, pale UDSM Hostel nyuma ya NBC Ubungo! (Safari iliontoa home haikuwa ya Kwenda Ubungo) Wadau wa mchongo ule walikuwa mmoja –ke na mwingine –me! Ikatokea wa kwanza kufika eneo la tukio ni -ke! Tukiwa tunavuta muda huku tukiwa na Coca na story za hapa na pale, ili column itimie, simu yangu ikaita, kucheck wife! Kupokea anauliza uko wapi? Nikamjibu Ubungo! Uko na nani? Nikamjibu niko na Stellah! Mnafanya nini? Nikamjibu niliekaa nae umemuona lakini tunachofanya hukioni? Basi kama upo karibu unatuona, njoo tujumuike ote hapa, huwezi endelea tu kutuona mpk mwisho wetu, km kuna dish umeset liambie dish lako likamate matukio yote mpk mwisho! Mshkaji akaja, tukaweka mipango vizuri, tukatawanyika!
Mfano wa Pili!
Nina mshkaji wangu anafanya kazi SIDO HQ pale kona ya kwenda Mzumbe Univ na jirani na Mzizima School (nadhani)! Huyu mwana huwa ananipa sana connections, kuna siku akaniita pale ofisini kwake, nikawa natembea mdogo mdogo kutokea DIT kupitia REGENCY Hosp (sifanyi kazi Regency Hosp) kuelekea pale SIDO, nikiwa maeneo ya Regency Hospital nikamuona Old school friend, mdada! Wakati nabadilishana nae maneno mawili matatu, simu inaita! Kucheki wife! Slim5 nani mgonjwa hapo Regency? Nikachoka!
Moral of the story:
[ol]
[li]Wake zetu muelewe kuwa, hii mikate tunayoleta nyumbani, inatoka njia nyingi na sio lazima njia zote mzifahamu, kwanza baadhi ya njia hizo ni temporary, zingine tunakuwa tumebet![/li]
[li]Kuna michongo mingine tunaiset humu mitaani, haina uhakika kama KARATA 3 ama Chafu 3! Kuna kula na kuliwa, ikitokea tunabutua, tunasema, tukiliwa tunakufa na maumivu yetu![/li]
[li]Wake zetu mjua huwezi kuambiwa mitego isiyo na uhakika wa kupiga hela! Hamkawii kutibua coz baadhi yenu ni roporopo! Kuna baadhi ya deals ukiwa roporopo zinabuma![/li][/ol]
Na nyie mnaowapa wake zetu taarifa za matukio yanayoendelea mitaani, nani kawapa authority hiyo? Ni lini tulikuteua kuwa PRO wa ndoa yetu?
Nyie maojifanya wema sana wa kuwapa taarifa wake zetu juu ya misele yetu, muwe mnawapa taarifa kamili ili kuwasaidia, msiwape nusu nusu!
Naomba kujua, kwa utoaji wenu huu wa taarifa za kiuchochezi ambazo hata TCRA wanakataza, huwa mnatarajia Malipo gani? Kama hamna Malipo nini hasa huwa mnakitafuta?
Nimewasilisha tu!
Kaka hajakupigia simu muda huu kukuuliza kwa nini unaranda randa JF, nchi jirani na upo na nani. Maana ana Radar kali kweli kweli.
[COLOR=rgb(184, 49, 47)]Umeoa kachero au jasusi wa CIA?
NAHUJA
June 28, 2018, 7:29am
40
Mkeo atakuwa sio mwaminifu kwenye ndoa yenu, atakuwa mchepukaji mzuri ndio anakufuatilia na weye