Itasikitisha sana endapo hizi taarifa zitakua za kweli…
Cc: @Mahondaw
Kumbe umemshtukia eeh
mim nashangaa mtu kulalama wakati he can opt to seduce sub-levels
very cheap…love…love love, love me more this is my price
wale team chaputa hii sredi haituusu
Nothing is cheap in this world
Kama ulimweleza unafanya kazi shirika la UN ulitaka aombe msaada kwa nani?
At first place mweleze hela yako unavyoipata kwa jasho na mipango yako ni kukuza shughuli zako za uzalishaji…hivyo hata akitaka kukuomba hela ujue anashida kweli na wewe mwenyewe umeithibitisha.
Mnatakiwa mfahamu papuchi haitolewi bure wala haiuzwi ukiona hela zako ni muhimu sana baki nazo umwache na huyo mwanamke abaki na utamu wake sawa sawa mkuu cha bure ni salamu pekee
hili neno hilii
Haijawahi kua ajabu kwa mwanamke kuomba hela kama ambavyo haijawahi kua ajabu kwa mwanaume kuomba papuchi, akubaliwe au akataliwe tangu kuumbwa kwa mwanadamu
Kazi ipo…
mmhhh hii comment yako kama mleta mada kakugusa vile, uache hiyo tabia.
Tena aache haraka…
yaani ame flip-out na povu juu kinyama, itakua kaguswa
Povu la omo…ha ha haaa
Siachi na bahati mbaya au nzuri huwezi fanya lolote
Siku hz wadada utasikia eti anajisikia raha hadi akojozwe!! Khaaa!!! Fedha nikupe na nikukojoze!!! Halafu!! Ungenikuta??? Mie nikibamba 1 hiyoooo zangu home kimyaaa
Hizi Mada zingine ,ni zakusoma huku unatazama world cup
Kweli inapendwa pesa
Inasikitisha…