Wadau hapa vipi?

swafi sana. sasa ita @Liberty aimwagilie maji ya baraka kwanza before threshold manenos

Impressive

mpaka mkakatia key na vidole?

@Kirwa are you a foreman, engineer, fundi, quantity surveyor, architect ama nini? Wakati ulipewa hii job, what was the job description? Ama you were the chief supervisor of the project to make sure everything runs smoothly and to take care of business/paperwork i.e kanjo etc??

Kenyan proverb…tumekusikia mhenga

Iko poa boss

[ATTACH=full]163260[/ATTACH]
HIzo balconey ni za kazi gani na hazina view ama ni za kunyanudana

Maybe kuhang nguo etc though zitachukua miaka kukauka. Ama watoto kuchezea

Good job man.

Kitchen ziko area hiyo.hapo unaweza weka mitungi ya maji.

always a good feeling when one completes a project and hands over.

@Kirwa I need more details, check your inbox

For those of us who are curious, what was the estimated budget? How did the owner finance the project? Challenges encountered?
CV yako imesimama kizee

Kazi safi.
Oya @admin mbona maswali za veterinary clinic na hata sijalewa?
[ATTACH=full]163286[/ATTACH]

NIAJE ARCHIBALD

Poa saidi Mutinda.
Naweza pata makaa?

tupatie break down cost ya hiyo keja pris

this is a good challenge i should be posting mine in the next 3 years

i.e foundation ili cost aje, kukorogea floor ya kwanza ili cost how much (kila kitu machuma nini nini) pris saidia village elder hapa

meffi. acha ku derail thread