So where does village idiot @Wakanyama come in ?
Hehehe
umepanda wapi viazi niende nikavune
Hapo engineer mbele ya njabini lakini huko ndani karibu na mlima. Hauwezi vuna zangu , nimeweka dawa ya western huko.
@uncle nyam kuna jamaa nilipatia tip ya bei za carbages huko Engineer last week. Amekua huko jana na amenunua moja na eight bob akajaza pick up. Wazi bro
1 Like
Wakanyama ndiye huyo taking a nap after kunywa 2nd generation in the Nissan hapo pic 3.
1 Like
Ameuza how much?
aliuza na 25 bob alikua na haraka but hakubeba mob around 650 pieces
1 Like
Akitaka poa, mshow next time aende machakos. Huko atauza 50 bob
1 Like