hiyo window seat ya mbele huwa tamu sana. kwanza ukiweka elbow kwa dirisha, then recline back and relax your legs, mashida zako zoote zinapotea for a few minutes/hours
:D…alaf kuna mahali makanga hukataa kusimamisha mtu anakuambia pengine ushukie huko mbele lakini mkikaanisha na dere unamskizia vizuri anakubali…inakuwaga 1st class treatment
Mimi ni mmoja wao. Sijazoea kurukishwa rukishwa na spring za nyuma na hii tumbo yangu.Halafu tena tabia za peasants kule nyuma huwa hazileti shangwe. Mara mziki iko 100 decibels, mara mwingine anatafuna mahindi kwa sauti, FP naye ametoka kazi na hajaoga. Siwes vumilia.
kuna mat za gong niliona hizi first seats za mbele(sio kwa dere)zimewekwa nne two facing each other,so spacious na pia kuna katable ubaweza ekelea your laptop ukibrowse kenyatalk,
I can relate, ata kukuwe na jua namna gani hakukosangi mtu mmoja anakohoa ni kama ameambukizwa strain zote za homa. To make matters worse hafungi mdomo, saa hizo mdomo inanuka miraa na sigara. Ukiniona na scarf kwa gari na hiyo joto yote usiniulize ni ya kazi gani.