Unashauri nini kifanyike!?
Bora hata angekuwa amekunywa nyingi kanywa Serengeti Lite mbili tu sema toka mwanzo uongeaji wake ulininyima amani kabisa.
Wanongea sana halafu muda mfupi tu utasikia Mie njaa inauma
Ha ha jamani demii mbona sisi hatuongei kama nyie
ha ha ha mkuu full kuchonga ha ha ha
baada ya matumizi mengi ya nguvu wakati wa kuongea
Ushahidi wa kideo tafadhali
Kisifanyike
Kuna vidume vinaongea sana we hujui tu. Yaani kakitu kadogo ataongea kuanzia usiku mpk asb hakuna kulala
Umeshajiuliza kwanini kwenye ndoa nyingi huwa wanapigwa kukitokea ugomvi!mara nyingi ni kuongea kwao ndio kunawaponza…
hahahaaa sio mie lkn
Kuna wenye gubu…yani anaongea kitu anarudia kila mara…
Hakuna namna, wameumbwa hivyo na wala huwezi kuwabadilisha…
ogopa sana majina haya, mwajuma, mwantumu, sikitu, havintishi, shida, chausiku, farida, hamisa, safina, khadija, hanifa, wwana matusi na wanayafanya zaidi ya huko kuongea
Mmh. Inamaana kuongea kote anaongea peke yake ama?
Ila pole bana.
Wanaongea wenyewe maqmbo meeeeengi ila mwanaume anamuangalia tu…hujawahi ona?
Wanaongea wenyewe mambo meeeeengi ila mwanaume anamuangalia tu…hujawahi ona?
Mmh. Sasa kwa nini mnawaangalia. Mie najua kurebishana kwenye mapenzi pia ipo hivyo muwage mnawaambia tu wapunguze.
OK…working on it
[emoji16] [emoji16] [emoji16]