Mkuu Vilager umewsili lini huku?
Ha ha ha ha Mkuu ushakuw senior villager huku? wewe kiboko!!!
S wanaongea kama sie?? Atakielewa tu akitulia akija huku ntakua na kibarua cha kulinda mali yangu
Madame S, Pole sana umewsili lini huku?
:p:p:p:p:p
Hahahahaaaa
Sawa jiandae kwa kazi hiyo
Since May 2017
Hahaha sawa bwana naona ushakua senior sasa hivi utakua expert:rolleyes:
Kumbe mpo muda
Villager Elder bana, hakuna mambo ya Expert huku
Asante sana gazeti nimekuja leo hii usiku bado mgeni nina kamba mguuni
Ahahaha et villager elder hongera sana kazana
Ndio hivyo bana madaraja ndio jadi yetu
Nakuona nakuona
Ha ha ha haaaaa
We umekuja lini
Aisee
Naongea na watanzania wenzangu kwanza na wachache pia wangeelewa kama ningetupia kimombo
We kaa na hiyo english yako ya ugukovwatu wana mwaga mkwanja tuu watoto wana tutafuta
:D:D:D