Hahahhaa labda tunaweza opolewa
Ila wanaume mnahangaika khaa!
Hapo Nina uhakika kabisaaa
Daaa hatimaye tumeibukia huku!
Kwa kweli,
Mabadiliko ya hali ya hewa yanakuja na vingi
Pichaa
:oops::oops::oops::oops::oops::oops::oops::oops:
Ndio tulivyoumbwa mamii
Soon na huku tutakimbizwa tunaibukia forum za india
SkyscraperCity Forum, jiunge mapema tu
Sever zake zipo kwa Trump kama FB, Insta na Twitter
Hahahaha miaka 10 lakin wote tutaheshimiana
:p:p:p:p:p:p:p Kweli kabisa mkuu
Inakuja